Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo akitoamaelekezo kwa watendaji wa Tume ya Utangazaji Zanzibar alipofanya ziara katika ofisi za tume hiyo Kilimani
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo, Fatma Hamad Rajab, akitoamaelekezo kwa Watendaji wa Tume ya Utangazaji Zanzibar alipofanya ziara kukagua mtambo wakufuatilia matangazo katika ofisi za tume hiyo Kilimani

