Timu ya wakaguzi kutoka Tume ya Utangazaji Zanzibar ikiwa katika kituo cha ZBC RADIO kilichopo BUNGI
MUONEKANO wa baadhi ya studio za kituo cha ZBC REDIO katika ofisi zao zilizopo Bungi ,Mkoa wa kusini Zanzibar ,baada ya wakaguzi kutoka Tume ya Utangazaji Zanzibar kufanya ukaguzi wa kawaida kwa vituo vya utangazaji Unguja..