Timu ya wakaguzi kutoka Tume ya Utangazaji Zanzibar ikiwa katika kituo cha REDIO AN-NOOR FM kilichopo Mtoni Kidatu.
MUONEKANO wa baadhi ya studio za kituo cha REDIO AN-NOOR FM katika ofisi zao zilizopo Mtoni Kidatu ,nje kidogo ya mji wa Zanzibar ,baada ya wakaguzi kutoka Tume ya Utangazaji Zanzibar kufanya ukaguzi wa kawaida kwa vituo vya utangazaji Unguja..