Timu ya wakaguzi kutoka Tume ya Utangazaji Zanzibar ikiwa katika kituo cha BOMBA FM REDIO kilichopo Mbweni.
MUONEKANO wa baadhi ya studio za kituo cha BOMBA FM REDIO katika ofisi zao zilizopo mbweni ,nje kidogo ya mji wa Zanzibar ,baada ya wakaguzi kutoka Tume ya Utangazaji Zanzibar kufanya ukaguzi wa kawaida kwa vituo vya utangazaji Unguja..