Welcome to Our Home Page

1 scaled
1 scaled
1 scaled
1 scaled
Kuapishwa katibu
GHAFLA YA KUAPISHWA KATIBU MTENDAJI WA TUME YA UTANGAZAJI

Ghafla iyo ilifanyika Ikulu Zanzibar Siku ya tarehe 14/11/2024 na kuapishwa viongozi wawili ambao ni Mh. Iddi Said Khamis kuwa Kadhi mkuu wa Mahakama ya Kadhi ya Rufaa na Nd. Hiji Dadi Shajak kuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Utangazaji.

usajili waziri
SERIKALI IMEFANIKIWA KUSAJILI REDIO FM 30, TV 12, CABLE TV 12

Jumla ya FM Redio 30, TV 12 na Cable TV 12 zimesajiliwa Serikalini kupitia Tume Ya Utangazaji Zanzibar. Ametoa taarifa hiyo Waziri wa Habari Vijana Utamadani na Michezo Mh. Tabia Mulid Mwita wakati akihutubia taarifa malum ya Miaka Minne ya DCT. Hussin Mwinyi aliyoitoa siku ya tarehe 18/11/2024 katika Ukumbia wa ZBC Mnazi Mmoja Zanzibar.

maelekezo
KATIBU MTENDAJI AKICHUKUA MAAGIZO BAADA YA KUAPISHWA

Baada ya kuapisha Katibu Mtendaji wa Tume ya Utangazaji aliendelea na kuchukua taarifa Kwa Mh. Rais Hussein Mwinyi kwa lengo la kusimamia vyema Taasisis ya Tume ya Utangazaj.

Matembezi ya Katibu
ZIARA YA KATIBU YA KUTEMBELEA VITUO VYA HABARI

Ziara hiyo ilifanyika Siku ya Terehe 27/11/2024, ambapo Katibu Mtendaji wa Tume ya Utangazaji alifuatana na maafisa mbali mbali wa Tume kwa Lengo la Kujitambulisha pamaja na kubadilishana mawazo kutokana na changamoto zinazotokea katika Tasnia ya Utangazaji.

Mendelezo wa Matembezi
UKAGUZI WA STUO

Katibu Mtendaj wa Tume ya Utangazaji Zanzibar, Nd. Hijji Dadi Shajak akiwa moja ya Studio alizozitembelea tarehe 29/11/2024.

previous arrow
next arrow

News&Events

Tume ya Utangazaji Zanzibar Inaandaa Kongamano litakalohusisha Wadau mbali mbali wa Habari Nchini tarehe 19 na 20 February katika ukumbi wa sanaa Rahaleo, lenye lengo la kuwakutanisha wadau wa habari na kujadili mambo muhimu yanahusu maendeleo ya Habari. Hivyo Tume Inawaomba wadau kujitolea katika Kushiriki na kutoa michango yao ili kufanikisha maendeleo ya Habari.